KARIBU

KARIBU SANA MTUMISHI WA MUNGU. KUNA MENGI YA KUJIFUNZA MAHALI HAPA. JISIKIE HURU KUTUMIA CHOCHOTE UTAKACHOKIPATA MAHALI HAPA. NA WEWE PIA UNAKARIBISHWA KUSHIRIKISHA WENGINE BARAKA MUNGU ALIZOKUPA. SHIRIKI PIA KATIKA KUSHAURI, KUONYA NA KUFUNDISHA ILI KANISA LA MUNGU YESU KRISTO LIZIDI KUSIMAMA. KARIBU SANA. KUMBUKA ENEO HILI HALIFUNGAMANI NA DHEHEBU LOLOTE BALI TUNAFUNGAMANA NA YESU KRISTO. BIBLIA NDIYO MAMLAKA KUU INAYOTUONGOZA KWA MAANA NDIYO NENO HALISI LA MUNGU.

Tuesday, May 7, 2013

VURUGU ZA KIDINI TANZANIA



SABABU 10 KWA NINI SHAMBULIO LA ARUSHA NI LA KIDINI
Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC, Balozi wa Tanzania Uingereza Mh. Kalaghe alikataa kwa nguvu zote kwamba shambulio la Arusha lililosababisha vifo na majeruhi sio la kidini bali la kigaidi! Kwa muda mrefu watanzania tumeendekeza dhana  ya kutokuwa wakweli wala wawazi kwenye mambo yanayoamua mstakabali wa nchi yetu. Vuguvugu la udini Tanzania sasa linaadhimisha miaka 20 Tangu lilipoanza na mashambulizi dhidi ya mabucha ya Nguruwe. Na sasa balozi huyu amethibitisha kwamba watanzania hatutaki kuwa wakweli!!!
Hizi ni sababu 10 kwa nini Shambulio la Arusha ni la Kidini
1. kilichoshambuliwa ni IBADA! hivi kama washambuliaji walilenga mambo mengine si wangeshambulia mahali pengine na sio ibadani?
2. Walioshambuliwa ni WAKRISTO! kwa muda wa mwaka mmoja sasa tunauzoefu wa makanisa kuchomwa na viongozi wa dini kuuawa. Zanzibar kuna msiba na Geita kuna msiba! na sasa ARUSHA UMEKUWA MSIBA MKUBWA ZAIDI!
3. lililoshambuliwa ni kanisa KATOLIKI! ukianzia na kujeruhiwa na kuuawa kwa mapadri Zanzibar na kushambuliwa Arusha kanisa katoliki wamekuwa ni waathirika wakubwa kwa sababu ya IMANI ILIYOJENGEKA KWA WAISLAM KWAMBA KANISA KATOLIKI NDIYE ADUI WAO MKUBWA!
4. Yaliyoshambuliwa ni MAENDELEO! Kwa miaka mingi kanisa limekuwa likishindana katika kuleta maendeleo na waislam wamekuwa wakishindana katika kusoma Quran! Leo waislam wanalalamika kwamba wakristo wanapendelewa! BADALA YA WAO KULETA MAENDELEO WANAAMINI KATIKA KUHARIBU MAENDELEO YA WAKRISTO KWA MABOMU! wakati wakishambuliwa OLASITI walikuwa wanasherehekea kupandishwa daraja na kuwa parokia. Maana yake wanasonga mbele kwa maendeleo na mabomu hayatawarudisha nyuma.
5.Aliyeshambuliwa ni VATCAN! Mashambulio haya yalilenga kuliumiza kanisa katoliki. Bila shaka wangeanza na vatcan, wangefuata wajerumani(lutheran) na waingereza (Anglican) wangefuatia. Haya ni madhehebu yanayoongoza kwa kuwa na waamini wengi na vitega uchumi vingi na shuhuli nyingi za kijamii.
6. Waliokamatwa ni WAARABU! mpaka sasa raia wanne wa SAUD ARABIA wanashikiliwa. Kuna ugomvi wowote kati ya serikali na WASAUDIA? kama hakuna kwa nini wagombane na mtu asiye adui yako?
7.Aliyerusha bomu ni mkristo? kwa nini nimeuliza! kwa sababu mpaka sasa majina ya watu tisa hayatajwi ila linatajwa la mmoja mwenye jina la kikristo! akili haifunguki? kama wanne ni WASAUDIA je hao watano ni wana majina gani? kwa nini linalazimishiwa hilo moja?
8.kila Rais wa Tanzania akiwa ni muislam tarajia vurugu za waislam! ilitokea kwa Mwinyi na sasa kwa Kikwete lakini haikutokea kwa Nyerere wala kwa Mkapa
9. Zanzibar wanaamini kwamba, katika kutengeneza dola yao nje ya Muungano Ukristo ni tatizo kubwa. na sasa wanataka kuwatisha wakristo ili tuone kila vurugu inatokea zanzibar.
10.Baadhi ya waislam wameona ELIMU NI GHALI! kwa hiyo wameamua kujaribu UJINGA!

na wewe una la kuchangia? karibu!

No comments:

Post a Comment